Thursday 24 September 2009

SAFARI YANGU YA MOSHI - ASHIRA

JAMANI NIMEWAMISSSSSSSSSS!!!!! DU NILIKUWA BUSY KISHENZI NA SHULE NDO IMEISHA.
heshima zenu wadau wangu, na wadogo nipeni basi haki yangu, du kweli mna haki ya kunishtaki!!!
Sasa nimerudiii!!
Safari yangu nilikuwa Moshi kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya YWCA. Du kweli wanawake tukiwezeshwa tunaweza sana tu.
Katika maadhimisho haya wapendwa tulitembelea shule ya wasicha ASHIRA ambako Shirika la YWCA lilipoanzia.
Usiondoke wala usibadili web endelea kufurahia.

No comments: