Friday 23 October 2009

MAMBO YETU YALE!!!!


TWINS WITH THEIR KAKA


Katikati ni kaka yangu jamani, pembeni ni pacha wangu katika graduation yangu - TUMAINI UNIVERSITY IRINGA

DEGREEEEEEEE!


NELLY


Headgirl wa Ashira Secondary aliyefahamika kwa jina moja NELY alipanda mti kuwakilisha wanafnzi wenzake.

Rais wa YWCA Kenya naye alipata nafasi ya kupanda mti.


UDONGO MGUMU HUU!!

Raisi wa YWCA Tanzania Mrs Rosemary Mapagala akipanda mti shule ya Wasichana Ashira katika maadhimisho ya miaka 50 ya YWCA Tanzania.

PANDA MTI BABA

Mkuu wa bodi ya Shule ya wasichana Ashira akipanda mti shuleni hapo ikiwani ishara ya kuadhimisha miaka 50 ya YWCA Tanzania yaliyofanyika Moshi.

Wednesday 21 October 2009

JAMANI NIMEGRADUATE


"Kwa mamlaka niliyopewa nakutunuku shahada ya kwanza ya UANAHABARI wewe DEBORAH ROBERT na MUNGU akubariki" alisema ALEX MALASUSA mkuu wa vyuo vya Tumaini Tanzania.

Sunday 11 October 2009

UTAMBULISHO

Rais wa Young Women Christian Association, Mrs. Rosemary Mapagala ambaye aliingia madarakani mwaka huu baada ya kustaafu kwa Miss Joyce Sabuni Mukoji. Rais akiwasalimu washiriki na wanafunzi wa Ashira Secondary. Kushoto kwake ni Rais wa YWCA ya Kenya na kulia kwake ni Mkuu wa shule ya Ashira.
Katibu mkuu wa YWCA ya Tanzania Mrs. Loerose Mbise akitambulisha meza kuu na wageni aliotangulizana nao.

TUNAINGIA UWANJANI

Wanafunzi wa kidato cha tano HGL wakiingia kwa kuimba wimbo wa pongezi ambao ulichanganyika na beat ya wimbo mmoja wa marehemu Michael Jackson.

MKUU WA SHULE.

Mkuu wa shule ya wasichana Ashira akiwakaribisha wageni ambao ni viongozi na wanachama wa YWCA katika maadhimisho ya miaka 50 ya TYWCA.

Friday 9 October 2009

WIMBO WA SHULE

Wanafunzi wa Ashira Secondari wakiimba wimbo wa shule yao, Shule kwa ajili ya kutengeneza viongozi waadilifu na wajasiri.

Thursday 8 October 2009

Miaka 50 ya YWCA Tanzania

Wanachama wa YWCA walipowasili Ashira Secondary School kwa kuanza maadhimisho hayo yaliyochukua wiki moja wilayani MOSHI.