Sunday 11 October 2009

UTAMBULISHO

Rais wa Young Women Christian Association, Mrs. Rosemary Mapagala ambaye aliingia madarakani mwaka huu baada ya kustaafu kwa Miss Joyce Sabuni Mukoji. Rais akiwasalimu washiriki na wanafunzi wa Ashira Secondary. Kushoto kwake ni Rais wa YWCA ya Kenya na kulia kwake ni Mkuu wa shule ya Ashira.
Katibu mkuu wa YWCA ya Tanzania Mrs. Loerose Mbise akitambulisha meza kuu na wageni aliotangulizana nao.

No comments: