Monday 27 October 2008

Miaka 30 ya ndoa ya Mchungaji Kakusi!

Mwaka 1978 ilikuwa ni nderemo na vifijo pale ambapo Mchungaji Jackson Kakusi na Bi Sabina Kakusi wa Moravian Kigoto Mwanza walipouvua ukapela na kuwa kitu kimoja. Nderemo hizo zimejirudia tena mwaka huu ambapo imetimu miaka 30 ya ndoa hiyo.

Friday 24 October 2008

Nimerudi! Mnisamehe sana wadau!

Kwanza kabisa mimi nahitaji msamaha wenu kwa kukaa kimya muda mrefu! Wapenzi wangu nilikuwa nimetightiwa sana na masomo lakini kwa sasa namshukuru Mungu kwani yeye pekee ndiye muweza wa yote aniwezeshaye kufanya mengi mnayoyaona leo.

Nawaahidi kuwa kwa sasa nimerudi kuwapatia kile ambacho ni halali yenu kupata ambacho ni habari katika picha.

Asanteni kwa kunvumilia na kunitumia comments zatu za kunijulia hali na maisha kwa ujumla.

KARIBUNI TULE NA KUNYWA PAMOJA KATIKA MEZA HII YA UANAHABARI>

Tuesday 7 October 2008