Wednesday 14 November 2007

Toka uigizaji mpaka utangazaji!!!

Kijana huyu anitwa Sekiondo anao uwezo wa kuvuta hisia za watu wengi nchini. Sio kwamba ameacha kazi ya uigizaji bali ipo kwenye damu tena ansigiza sauti nyingi za watu maarufu hapa nchini. Homgera Kijana.

No comments: